-
Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine – Toleo la Shule
Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi usio wa kawaida. Umeleta pamoja waandishi stadi wenye macho makali, na wanaolenga moja kwa moja kwenye kiini bila hofu yoyote. Waandishi wanaotambulika kwa haraka ni kama vile Muhammed Said Abdulla, Said A. Mohamed, Ken Walibora, Farouk Topan na wengineo. Mkusanyiko huu pia haukuacha waandishi shupavu wanaochipuka kama vile Doreen Baingana, Mohammed Khelef Ghassany na wengineo.
Mkusanyiko huu umeshughulikia upana wa kimaudhui na mitindo mbalimbali ya uandishi. Isitoshe, waandishi wametumia vyema uhuru wa kisanii kwani hadithi mwanana ni kama ndoto ambayo haiwezi kulazimishwa kutii sheria hususa za ndivyo au sivyo. Kila hadithi katika mkusanyiko huu ni ya aina yake na itamsisimua, itamburudisha na kumfunza msomaji.
Utangulizi wa kina umetolewa kuhusu hadithi fupi ili kuwaelewesha wasomaji jinsi utanzu huu ulivyo tofauti na tanzu nyingine za fasihi. -
Dama na Ndama
Vitabu hivi ni mfululizo wa vitabu vya kusoma vilivyoandikwa ili kutosheleza mahitaji ya wasomaji walio na uwezo wa kusoma unaotofautiana. Vitabu hivi havizingatii gredi ila kiwango cha uwezo wa kusoma. Vimepangwa kutoka vitabu rahisi vya kusomwa na watoto wanaoanza kusoma hadi vile vyenye ugumu kiasi vya kusomwa na watoto wenye uwezo ulioimarika wa kusoma.
-
Can You Mend My Skirt?
These level of readers has controlled vocabulary, language structures, illustrations and suitable sentences for Grade 2 and above
-
Caro Feeds Animals
This story is pegged on the theme: domestic animals. The author supports this theme by engaging a child who participates in domestic work of feeding them. Caro teaches other children what domestic animals look like, their names and what they eat. She practically takes the food to each one of the animals.
-
Can we Play?
Carefully written levelled with controlled text to enhance reading. Recommended for Pre-Primary 1 and 2
-
Body Goes on Strike
Mongo loves to play and watch television! He does not look after himself and remains dirty all the time. Read the story to find out what happens to Mongo when his body stops working. Body goes on strike is part of Living Health Readers series.
-
Broken Bond
Cintu’s ears picked up a faint sound.Then, more than one sound;a scream.The scream bordered a howl and a
chant. It kept on rising in volume like an approaching tidal wave. It took Cintu a little while to recognise it for
what it… -
Black Beauty
Black Beauty is a touching
autobiography of a horse called
Black Beauty. The story revolves
around the many experiences that
he has with different owners at
various stages of his life. -
Black Madonna
Yona Mayona yearns to jet back to Kenya before his father?s death. On his way home from the United States of America, the History professor flies into the arms of Valerie, a South African nurse. Valerie?s entry further complicates matters with Linda, Yona?s wily African-American benefactor.
All the jigsaw pieces fall into place when Yona finally meets a Mexican called Greco Garcia. The meeting reveals secrets dating back to 189 AD, shaking Christianity to its very roots.
Black Madonna is a tale of love, big money, race relations and a ceaseless quest for justice. -
Bitter Enemies
Are you ready to help then?? Krabo?s voice did not indicate much hope. ?If I were not, I wouldn?t have walked all the way to here. But you must tell me why you wanted to end my life. You must also promise that henceforth, you will bear me, my family and the tobacco trade. No hatred.?
There is trouble between food crop farmers and tobacco growers. What are the real issues at stake? Is it the drought? Is it the successful tobacco business? -
Baraka za Mama
Baraka za Mama ni riwaya inayoangizia maisha ya Baraka kijana anayeibukia katika familia maskini. Baraka anafiwa na wazazi wake na kuachwa chini ya malezi ya ami yake, Baguma. Jambo hili halileti heri yoyote katika maisha yake. Jua la maisha hata hivyo halimsubiri. Baraka anapitia katika adha chungu nzima. Je atatamauka au atapigania maisha?
Hii ni riwaya ya kusisimua iliyowasilishwa kwa ubunifu wa hali ya juu. Aidha, imesheheni mafunzo muhimu kwa vijana -
Anga Yetu
Vitabu hivi ni mfululizo wa vitabu vya kusoma vilivyoandikwa ili kutosheleza mahitaji ya wasomaji walio na uwezo wa kusoma unaotofautiana. Vitabu hivi havizingatii gredi ila kiwango cha uwezo wa kusoma. Vimepangwa kutoka vitabu rahisi vya kusomwa na watoto wanaoanza kusoma hadi vile vyenye ugumu kiasi vya kusomwa na watoto wenye uwezo ulioimarika wa kusoma.
-
A Wild Kick
What do you do when you make a mistake? Sam and his friends are playing football near Mrs Otin’s house.By mistake, their ball breaks Mrs Otin’s window pane.What will they do?
-
A Wig for a Pig
These level of readers has controlled vocabulary, language structures, illustrations and suitable sentences for Grade 2 and above
-
A Time for Change
Sifa’s brother, Juma, is little by little becoming a thief. So horrible, isn’t it? Even Amani, Sifa’s friend is worried. What will the two girls do to help Sifa’s brother?
-
A Taste of Bitterness
In A Taste of Bitterness, Imelda is confronted with very tough choices.On one hand, there are the classmates who expect her to join them in bullying other students in school and on the other, she doesn’t want to spoil her relationship with the school.
-
A Tale of Two Cities
A Tale of Two Cities is both a tale
of adventure and a beautiful love
story. Set in the cities of London and
Paris before and during the French
Revolution, it describes the brutal
treatment of the French aristocracy
towards the French people. -
A Rat Dance
Carefully written levelled with controlled text to enhance reading. Recommended for Pre-Primary 1 and 2
-
A Note for Alice
Indeche finds himself in an awkward situation. Davis, a teenage boy gives him gifts and a letter to take to his sister, Alice. Out of curiosity, Indeche reads the note that Davis has written to Alice.
-
A little Kindness
Tony and Tabby know that they should be kind. Their parents and teachers insist on this virtue. They also know that they should be wary of strangers. Mr Hoswell is very sick. Will they be kind to him?