ADHA YA KISAUNI

KSh100.00

Hali ya usalama katika kijiji cha Kisauni ilikuwa imezorota sana. Wenyeji walihitajika kuwa nyumbani kwao saa kumi na moja unusu jioni na hawakuondoka humo kabla ya saa moja asubuhi. Kadhia za uhalifu zilizoanza kuchipuka katika kijiji hiki ndizo zinazovuruga na kutikisa utando wa amani na hatimaye udugu ukayeyuka na kuisha kabisa. Hii ni hadithi ya kuonya vijana kwamba magenge ya uhalifu hayafai kabisa katika jamii. Ni kweli kwamba uhalifu haulipi chochote!

Customer Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “ADHA YA KISAUNI”

Your email address will not be published. Required fields are marked *