Utamu Wa Lugha Kitabu Cha Pili
Katika mkusanyika wa mashairi katika kitabu hiki Bi-Uvetie amefuata mtindo aliyotumia katika cha kwanza, UTAMU WA LUGHA (KLB 1976).
Bi-Uvetie ameandika juu ya vipenngee vya Maisha vilivyo katika mazingara yetu, mifano ikiwa siasi, elimu, mapenzi, dini na kadhalika. Mkusanyiko huu una mashairi mepesi nay a kufahamika kwa urahisi.
Bi Uvatie alizaliwa Meru-Arusha Tanzania katika Kijiji cha Nkure kata ya Nkoaranga. Ameolewa n ani raia mtumishi wa Serikali ya Kenya.
KSh360.00
Related products
-
Kenya Literature Bureau (KLB)
Secondary Christian Religious Education Students Book 2
KSh559.00 Add to basket -
Kenya Literature Bureau (KLB)
Secondary Christian Religious Education Students Book 1
KSh638.00 Add to basket
Reviews
There are no reviews yet.