Super Minds Art and Craft Workbook Grade 5
KSh390.00
by J. Maina, A. Ngigi and C. Kimeu
- ISBN: 9789966565785
- SKU: BK00000002220
Super Minds English Grade 5 Workbook has been uniquely written to provide knowledge as well as develop proficiencies in the learner. This workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in this series has been well-researched and creatively written to enable the learner to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
This English Workbook:
• has been uniquely written to develop oral, reading, and writing skills, as well as competencies in grammar use
• uses a simple approach to language that is to the level of the learner
• has reflection questions at the beginning of each strand to stimulate the learner’s mind
• has a wide variety of practice questions to help the learner grasp a broad range of concepts in the English language
• is creatively designed to enable the learner to write all answers to the questions in the workbook spaces easily
• has attractive, well-drawn, full colour illustrations that will arouse a learner’s desire to learn
The authors of this workbook are teachers of English with vast experience. This workbook should be used alongside the Super Minds English Learner’s Book for Grade 5.
Related products
-
Great Minds English Language Activities Grade 3 PB
Author: Joseph Maina & Nobert Ndisio
Publisher: East African Educational Publishers
Year: First published 2018
ISBN: 978-9966-56-302-6Pupil’s Book
Great Minds English Language Activities Grade 3, Pupil’s Book, is a KICD approved comprehensive course based on the new Kenya Competency-Based Curriculum (CBC), 2018 for primary schools. This grade 3 English book has been developed to enable learners apply the listening, speaking, reading and writing skills in their daily use of language. This Grade 3 book is presented in a simple manner. Learners at this level will enjoy using it. Here, the teacher becomes a facilitator of learning and not simply a source of knowledge. The key features of this book include:
- A simple approach to language and presentation that is easy to follow.
- Relevant, well drawn full colour illustrations.
- A variety of competency-based learner-centered activities that help the learners to develop a wide range of skills.
- Suggestions for parents and teachers to be involved in the continuous learning process at home.
- Songs and poems that help the learners to understand the content within this book.
- Indoor and outdoor activities that learners do in pairs and in groups as they help each other to learn.
The book has an accompanying Teacher’s Guide. The authors are English Language teachers with vast experience.
-
Great Minds CRE Activities Grade 3 TG
Author: S. Muriithi , V. Makanda & Hellen Mwasiaji
Publisher: East African Educational PublishersDescription
Teacher’s Guide
This Teacher’s Guide comprehensively covers the content in the Great Minds Christian Religious Activities, Grade 3, Pupil’s Book. Key features of this Teacher’s Guide include:
- A comprehensive introduction that covers the following areas:
- Introduction to competency-based curriculum.
- Child-centered learning.
- Handling learners with special needs.
- Professional documents such as schemes of work and lesson plan.
- Evaluation.
- Methodology of teaching Christian Religious Education in Lower Primary.
- Suggested teaching and learning resources for each topic.
- Background information to each topic.
- Step by step instructions on how to cover each sub-topic and activity.
- Additional information that the teacher can use to teach specific topics and sub-topics.
- Additional activities to complement the ones in the Pupil’s Book.
- Answers to all the questions in the Pupil’s Book.
- A comprehensive introduction that covers the following areas:
-
Kiswahili Angaza Gredi 1 PB
Mwandishi: Shabaan Otieno & Mziwanda Banda
Mchapishaji: East African Educational Publishers
Mwaka: First published 2018
ISBN: 978-9966-56-282-1Kitabu cha Mwanafunzi
Kiswahili Angaza ni kozi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusana; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;2. Wanafunzi wanaanza kila somo kwa kuelezea picha au hali ama matukio wanayoyafamu huku wakijadiliana;3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambua, kubainisha, kujenga na kuhakiki;4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha;5. Mwanafunzi na mwanafunzi mwenzake, pamoja na mwalimu, mzazi na hata jamii nzima wanashirikishwa ndani ya kitabu hiki.Ili kuhakikisha kwamba mwanafunzi anashiriki katika utendaji wakati wa somo, Shughuli mbalimbali zinazopalilia na kushadidia umilisi wake zimezingatiwa. Shughuli hizo ni kama zifuatazo: Shughuli za Darasa; Shughuli za Kibinafsi; Shughuli za Makundi; Shughuli za Wawili wawili; Shughuli za Nyumbani; Shughuli za Nje ya darasa; Shughuli Mseto; Shughuli za Ziada na Shughuli za Utafiti. -
Kiswahili Angaza Gredi 2 TG
Mwandishi: Shabaan Otieno & Mziwanda Banda
Mchapishaji: East African Educational Publishers
Mwaka: First published 2018
ISBN: 978-9966-56-285-2Description
Kitabu cha Mwalimu
Kiswahili Angaza, Mwongozo wa Mwalimu ni kitabu kilichosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kimetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Mwalimu ni nyenzo muhimu katika utekelezaji wa mtalaa mpya. Itakuwa vigumu kwa wanafunzi pekee kujiongoza katika mtalaa huu. Mwongozo huu hivyo basi unatoa mwelekeo ufaao kwa mwalimu na kumwongoza hatua kwa hatua katika ufundishaji. Kitabu hiki kinazingatia mambo saba muhimu:- Utangulizi unaozungumzia kwa mapana na marefu mtalaa mpya unaomwegemea mwanafunzi, mbinu, nyenzo na asilia mbalimbali za kutumia katika ufundishaji pamoja na mambo mengine ainati;
- Kifano cha maazimio ya kazi pamoja na andao la somo kwa kutumia mtindo mpya uliopendekezwa na KICD;
- Ripoti ya maendeleo ya mwanafunzi inayofaa kujazwa mwishoni mwa kila mada kuu. Ripoti hii inafaa kujazwa na mwalimu pamoja na mzazi au mlezi;
- Utangulizi kwa kila somo. Kila utangulizi una jedwali linaloonyesha wiki ya somo, mada kuu, mada ndogo, nyenzo na idadi ya vipindi.
- Kabla ya somo lenyewe, mwalimu anaonyeshwa shabaha ya kila somo, umilisi wa msingi unaokuzwa, uhusiano na masuala mtambiko, shughuli za huduma za kijamii, uhusiano na maadili, uhusiano na masomo mengine na mapendekezo ya tathmini.
- Hatimaye, mwalimu anaonyeshwa hatua mbalimbali za kufundisha somo lake tangia kuingia darasani hadi mwisho wa somo.
- Mahitaji ya wanafunzi wenye uwezo mbalimbali aidha yameshughulikiwa.
- Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha.
-
EAEP Fun With Mathematics Activities PP2 PB
- ISBN: 9789966562760
- SKU: 2010117001653
Fun with mathematical activities is a comprehensive course book based on the new Competency-Based Curriculum (20 I 8).This Pre-Primary 2, Pupil’s book, is presented in a simple way Learners at this level will enjoy using this book
The key features of the book include relevant and well-drawn color illustrations; • a variety of competency-based learning activities: • suggestions for parents’ involvement in the continuous learning process, at home and • songs and poems at the end of the book.
The author, Patrick Kiswili, is an educational publisher with a high competence in Mathematics and Science.
-
Kiswahili Angaza Gredi 4 TG
Mwandishi: Shabaan Otieno & Mziwanda Banda
Mchapishaji: East African Educational Publishers
Mwaka: First published 2018
ISBN: 978-9966-56-460-3Description
Kitabu cha Mwalimu
Kiswahili Angaza, Mwongozo wa Mwalimu ni kitabu kilichosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kimetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Mwalimu ni nyenzo muhimu katika utekelezaji wa mtalaa mpya. Itakuwa vigumu kwa wanafunzi pekee kujiongoza katika mtalaa huu. Mwongozo huu hivyo basi unatoa mwelekeo ufaao kwa mwalimu na kumwongoza hatua kwa hatua katika ufundishaji. Kitabu hiki kinazingatia mambo saba muhimu:- Utangulizi unaozungumzia kwa mapana na marefu mtalaa mpya unaomwegemea mwanafunzi, mbinu, nyenzo na asilia mbalimbali za kutumia katika ufundishaji pamoja na mambo mengine ainati;
- Kifano cha maazimio ya kazi pamoja na andao la somo kwa kutumia mtindo mpya uliopendekezwa na KICD;
- Ripoti ya maendeleo ya mwanafunzi inayofaa kujazwa mwishoni mwa kila mada kuu. Ripoti hii inafaa kujazwa na mwalimu pamoja na mzazi au mlezi;
- Utangulizi kwa kila somo. Kila utangulizi una jedwali linaloonyesha wiki ya somo, mada kuu, mada ndogo, nyenzo na idadi ya vipindi.
- Kabla ya somo lenyewe, mwalimu anaonyeshwa shabaha ya kila somo, umilisi wa msingi unaokuzwa, uhusiano na masuala mtambiko, shughuli za huduma za kijamii, uhusiano na maadili, uhusiano na masomo mengine na mapendekezo ya tathmini.
- Hatimaye, mwalimu anaonyeshwa hatua mbalimbali za kufundisha somo lake tangia kuingia darasani hadi mwisho wa somo.
- Mahitaji ya wanafunzi wenye uwezo mbalimbali aidha yameshughulikiwa.
- Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha.
-
Kiswahili Angaza Gredi 4 PB
Mwandishi: Shabaan Otieno & Mziwanda Banda
Mchapishaji: East African Educational Publishers
Mwaka: First published 2018
ISBN: 978-9966-56-447-4Description
Kitabu cha Mwanafunzi
Kiswahili Angaza ni kozi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusana; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;2. Wanafunzi wanaanza kila somo kwa kuelezea picha au hali ama matukio wanayoyafamu huku wakijadiliana;3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambua, kubainisha, kujenga na kuhakiki;4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha;5. Mwanafunzi na mwanafunzi mwenzake, pamoja na mwalimu, mzazi na hata jamii nzima wanashirikishwa ndani ya kitabu hiki.Ili kuhakikisha kwamba mwanafunzi anashiriki katika utendaji wakati wa somo, Shughuli mbalimbali zinazopalilia na kushadidia umilisi wake zimezingatiwa. Shughuli hizo ni kama zifuatazo: Shughuli za Darasa; Shughuli za Kibinafsi; Shughuli za Makundi; Shughuli za Wawili wawili; Shughuli za Nyumbani; Shughuli za Nje ya darasa; Shughuli Mseto; Shughuli za Ziada na Shughuli za Utafiti. -
Kiswahili Angaza Gredi 2 PB
Mwandishi: Shabaan Otieno & Mziwanda Banda
Mchapishaji: East African Educational Publishers
Mwaka: First published 2018
ISBN: 978-9966-56-284-5Description
Kitabu cha Mwanafunzi
Kiswahili Angaza ni kozi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusana; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;2. Wanafunzi wanaanza kila somo kwa kuelezea picha au hali ama matukio wanayoyafamu huku wakijadiliana;3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambua, kubainisha, kujenga na kuhakiki;4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha;5. Mwanafunzi na mwanafunzi mwenzake, pamoja na mwalimu, mzazi na hata jamii nzima wanashirikishwa ndani ya kitabu hiki.Ili kuhakikisha kwamba mwanafunzi anashiriki katika utendaji wakati wa somo, Shughuli mbalimbali zinazopalilia na kushadidia umilisi wake zimezingatiwa. Shughuli hizo ni kama zifuatazo: Shughuli za Darasa; Shughuli za Kibinafsi; Shughuli za Makundi; Shughuli za Wawili wawili; Shughuli za Nyumbani; Shughuli za Nje ya darasa; Shughuli Mseto; Shughuli za Ziada na Shughuli za Utafiti.
Be the first to review “Super Minds Art and Craft Workbook Grade 5”