Nothing but the Truth (Paperback )
KSh1,470.00
Nothing But the Truth: A Documentary Novel is a 1991 novel written by Avi. The novel is historical fiction. It tells the story of an incident in a fictional New Hampshire town where a boy is suspended for humming the United States National Anthem as well as the effects of this story receiving national publicity. The main theme of the novel is the subjectivity of truth and that while individual statements may be true, taken separately they may not give an accurate picture of an event.
Related products
-
Kiswahili Angaza Gredi 4 TG
Mwandishi:Â Shabaan Otieno &Â Mziwanda Banda
Mchapishaji: East African Educational Publishers
Mwaka: First published 2018
ISBN:Â 978-9966-56-460-3Description
Kitabu cha Mwalimu
Kiswahili Angaza, Mwongozo wa Mwalimu ni kitabu kilichosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kimetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Mwalimu ni nyenzo muhimu katika utekelezaji wa mtalaa mpya. Itakuwa vigumu kwa wanafunzi pekee kujiongoza katika mtalaa huu. Mwongozo huu hivyo basi unatoa mwelekeo ufaao kwa mwalimu na kumwongoza hatua kwa hatua katika ufundishaji. Kitabu hiki kinazingatia mambo saba muhimu:- Utangulizi unaozungumzia kwa mapana na marefu mtalaa mpya unaomwegemea mwanafunzi, mbinu, nyenzo na asilia mbalimbali za kutumia katika ufundishaji pamoja na mambo mengine ainati;
- Kifano cha maazimio ya kazi pamoja na andao la somo kwa kutumia mtindo mpya uliopendekezwa na KICD;
- Ripoti ya maendeleo ya mwanafunzi inayofaa kujazwa mwishoni mwa kila mada kuu. Ripoti hii inafaa kujazwa na mwalimu pamoja na mzazi au mlezi;
- Utangulizi kwa kila somo. Kila utangulizi una jedwali linaloonyesha wiki ya somo, mada kuu, mada ndogo, nyenzo na idadi ya vipindi.
- Kabla ya somo lenyewe, mwalimu anaonyeshwa shabaha ya kila somo, umilisi wa msingi unaokuzwa, uhusiano na masuala mtambiko, shughuli za huduma za kijamii, uhusiano na maadili, uhusiano na masomo mengine na mapendekezo ya tathmini.
- Hatimaye, mwalimu anaonyeshwa hatua mbalimbali za kufundisha somo lake tangia kuingia darasani hadi mwisho wa somo.
- Mahitaji ya wanafunzi wenye uwezo mbalimbali aidha yameshughulikiwa.
- Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha.
-
Kiswahili Angaza Gredi 3 TG
Mwandishi:Â Shabaan Otieno &Â Mziwanda Banda
Mchapishaji: East African Educational Publishers
Mwaka: First published 2018
ISBN:Â 978-9966-56-287-6Description
Kitabu cha Mwalimu
Kiswahili Angaza, Mwongozo wa Mwalimu ni kitabu kilichosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kimetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Mwalimu ni nyenzo muhimu katika utekelezaji wa mtalaa mpya. Itakuwa vigumu kwa wanafunzi pekee kujiongoza katika mtalaa huu. Mwongozo huu hivyo basi unatoa mwelekeo ufaao kwa mwalimu na kumwongoza hatua kwa hatua katika ufundishaji. Kitabu hiki kinazingatia mambo saba muhimu:- Utangulizi unaozungumzia kwa mapana na marefu mtalaa mpya unaomwegemea mwanafunzi, mbinu, nyenzo na asilia mbalimbali za kutumia katika ufundishaji pamoja na mambo mengine ainati;
- Kifano cha maazimio ya kazi pamoja na andao la somo kwa kutumia mtindo mpya uliopendekezwa na KICD;
- Ripoti ya maendeleo ya mwanafunzi inayofaa kujazwa mwishoni mwa kila mada kuu. Ripoti hii inafaa kujazwa na mwalimu pamoja na mzazi au mlezi;
- Utangulizi kwa kila somo. Kila utangulizi una jedwali linaloonyesha wiki ya somo, mada kuu, mada ndogo, nyenzo na idadi ya vipindi.
- Kabla ya somo lenyewe, mwalimu anaonyeshwa shabaha ya kila somo, umilisi wa msingi unaokuzwa, uhusiano na masuala mtambiko, shughuli za huduma za kijamii, uhusiano na maadili, uhusiano na masomo mengine na mapendekezo ya tathmini.
- Hatimaye, mwalimu anaonyeshwa hatua mbalimbali za kufundisha somo lake tangia kuingia darasani hadi mwisho wa somo.
- Mahitaji ya wanafunzi wenye uwezo mbalimbali aidha yameshughulikiwa.
- Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha.
-
-
Great Minds CRE Activities Grade 2 TG
by Muriithi
- ISBN: 9789966563057
- SKU: 2010130000371
Great Minds CRE Activities GD2, Teachers Book, is a comprehensive course based on the new Competency-Based Curriculum, 2018 for primary schools. This course has been developed to enable learners apply the listening, speaking, reading and writing skills in their daily use of language. This Grade 2 book is presented in a simple manner. Learners at this level will enjoy using it. here, the teacher becomes a facilitator of learning and not simply a source of knowledge.
The key features of this book include:
- A simple approach to language and presentation that is easy to follow.
- Relevant, well drawn full-color illustrations.
- A variety of competency-based learner-centered activities that help the learners to develop a wide range of skills.
- Suggestions for parents and teachers to be involved in the continuous learning process.
- Songs and poems that help the learners to understand the content within this book.
- Indoor and outdoor activities that learners do in pairs and in groups as they help each other to learn.
-
Super Minds English Grade 5 LB
by A. Ngigi, J. Maina, C. Kimeu
- ISBN: 9789966564511
- SKU: BK00000001870
Super Minds English Grade 5 Learner’s Book comprehensively covers the English content in the new competency-based curriculum for primary schools. This book has been creatively written to enable the learner to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes. It is presented in a simple manner that the learner can identify with. At this level, the learner will enjoy using it as the teacher becomes a facilitator of learning and not simply a source of knowledge. The key features of this book include:
• Use of simple language that is to the level of the learner.
• Uniquely written to develop oral, reading, and writing skills, as well as competencies in grammar use.
• Relevant, well-drawn, full colour illustrations.
• A variety of competency-based, learner-centered activities that help the learner to develop a wide range of skills.
• Learning points that define all concepts that have been taught.
• Additional activities including Summary: Test yourself and Assess
yourself at the end of every theme. The book has an accompanying Teacher’s Guide. The authors are teachers of English with vast experience. -
Kiswahili Angaza Gredi 1 PB
Mwandishi:Â Shabaan Otieno &Â Mziwanda Banda
Mchapishaji: East African Educational Publishers
Mwaka: First published 2018
ISBN:Â 978-9966-56-282-1Kitabu cha Mwanafunzi
Kiswahili Angaza ni kozi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusana; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;2. Wanafunzi wanaanza kila somo kwa kuelezea picha au hali ama matukio wanayoyafamu huku wakijadiliana;3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria  kama vile kuchanganua, kutambua, kubainisha, kujenga na kuhakiki;4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha;5. Mwanafunzi na mwanafunzi mwenzake, pamoja na mwalimu, mzazi na hata jamii nzima wanashirikishwa ndani ya kitabu hiki.Ili kuhakikisha kwamba mwanafunzi anashiriki katika utendaji wakati wa somo, Shughuli mbalimbali zinazopalilia na kushadidia umilisi wake zimezingatiwa. Shughuli hizo ni kama zifuatazo: Shughuli za Darasa; Shughuli za Kibinafsi; Shughuli za Makundi; Shughuli za Wawili wawili; Shughuli za Nyumbani; Shughuli za Nje ya darasa; Shughuli Mseto; Shughuli za Ziada na Shughuli za Utafiti. -
Super Minds Music Activities Grade 4 TG
Author: Joash Mutaaru & Shadrack Adoyo
Publisher: East African Educational Publishers
Year: First published 2018
ISBN: 978-9966-56-466-5Teacher’s Guide
This Teacher’s Guide fully explains the content in the Super Minds Music Grade 4 Learner’s Book. Key features of this Teacher’s Guide include:
- a comprehensive introduction that covers the following areas:
- Introduction to the competency-based curriculum
- Child-centered learning
- Handling learners with special needs
- Professional documents, such as the scheme of work and the lesson plan
- Evaluation
- Methodology of teaching Music in Upper Primary.
- suggested teaching and learning resources for each topic
- background information to each topic
- step-by-step instructions on how to cover each sub-topic and activity
- additional information that the teacher can use to teach specific topics and sub-topics
- additional activities to complement the ones in the Learner’s Book
- answers to all the questions in the Learner’s Book.
- a comprehensive introduction that covers the following areas:
-
Super Minds Music Activities Grade 4 pb
Author: Joash Mutaaru & Shadrack Adoyo
Publisher: East African Educational Publishers
Year: First published 2018
ISBN:Â 978-9966-56-453-5Description
Learner’s Book
Super Minds Music Grade 4 Learner’s Book comprehensively covers the Music content in the new competency-based curriculum for primary schools. This book has been developed to enable learners apply their musical talents to their daily living. The book is presented in a simple manner that learners can identify with. At this level, learners will enjoy using it as the teacher becomes a facilitator of learning and not simply a source of knowledge. The key features of this book include:
- a simple approach to language and presentation that is easy to follow
- relevant, well-drawn, full colour illustrations
- a variety of competency-based, learner-centred activities that help the learners to develop a wide range of skills
- suggestions for parents and teachers to be involved in the continuous learning process at home
- songs, dances and instruments that help the learners to understand the content in the book
- indoor and outdoor activities that learners do individually, in pairs and in groups as they help each other to learn.
The book has an accompanying Teacher’s Guide. The authors are Music teachers with vast experience
Be the first to review “Nothing but the Truth (Paperback )”