Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 5
KSh485.00
Kiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Category: | Oxford Publishers |
---|---|
Tag: | Oxford Publishers |
Related products
-
-
Soma Nasi, Kusoma na Kuandika Kiswahili – Kiswahili Literacy Pupil’s Book 1
Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 1
Soma nasi, Kusoma na kuandika Kiswahili ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Soma nasi, Kusoma na kuandika Kiswahili, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi 1, utapata:• mada zilizopangwa kwa kuzingatia mtalaa mpya
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika
• mazoezi nje ya darasa ili kuendeleza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji
• sehemu ya ‘Tujifurahishe’ inayolenga kuwasisimua wanafunzi wanapotumia lugha.
Soma nasi, Kusoma na kuandika Kiswahili, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu mpya wa Umilisi. -
Hatima ya Kubuni
Wanasayansi, wanaramani mabingwa wameshindwa kutambua kilipokuwa kijiji cha Kubuni na kukiweka juu ya uso wa dunia. Kile wanachojua ni kuwa kijiji chenyewe kilikuwepo, ila sasa hakijulikani kitovu chake. Mzee Pepo tu ndiye aliyeshuhudia kijiji kikitokomea. Anaelezea masaibu yaliyokikumba kijiji hiki kwa namna itakayokuacha wewe msomaji
ukistaajabu …Mwandishi, Hamad Simai, ni mwandishi mtajika wa riwaya na kazi nyingine za kubuni. Aidha, ni mtaalamu wa teknolojia nchini Zanzibar.
-
Test It & Fix It KCSE Revision CRE – 3rd Edition
Test it Fix it: KCSE Revision is a revision series that provides an in-depth coverage of the secondary syllabus. Developed by a team of experienced authors, examiners and teachers, each book contains tests designed to help candidates identify any problems they may have in a particular subject and fx them.
Why Test it & Fix it?
Test it & Fix it: KCSE Revision CRE provides:
- Essential examination skills including key words used in examinations, common mistakes candidates make, and tips to answering examination questions.
- Summary notes for each of the topics in the syllabus.
- Revision questions based on each topic of the History and Government syllabus.
- Common KCSE questions from each topic of the History and Government syllabus.
- Model examination papers, for paper 1 & 2, to help candidates practise answering questions in the KCSE examination.
- Answers to the revision questions and model examination papers.
-
-
New Progressive Primary English Activities PB 4
New Progressive Primary English is a series specially written to provide practical experiences that support acquisition of language skills
for the new Competency Based Curriculum. Books in the series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at acquisition of the core competencies, values, and pertinent and contemporary issues (PCIs).The Learner’s Book ensures coverage of the new Competency Based Curriculum by providing:
• Units that are structured according to strands and sub-strands as outlined in the curriculum.
• An integration of the four language skills – listening, speaking, reading and writing.
• Real-life situations where learners can apply creativity and critical thinking skills in solving everyday problems.
• Numerous learner-centred activities through which the learners engage in teamwork and communication.
• Application sections (More reading, Have fun, Challenge) that allow learning to take place in and out of class.
• Activities aimed at integrating the use of digital technologies in learning thereby enabling the learners to acquire digital literacy skills.Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the new Competency Based Curriculum.
-
Test It & Fix It KCSE Revision Agriculture – 2nd Edition
Here’s the fix for the best KCSE results!
Test it & Fix it KCSE Revision is a revision series that provides an in-depth coverage of the secondary syllabus. Developed by a team of experienced authors, examiners and teachers, each book helps students, and especially candidates, revise what they have learnt and be confident as they face examinations. The books also help students to identify any problems they may have in a subject and fix them.
Why Test it & Fix it?
Test it & Fix it: KCSE Revision Agriculture provides:
- Concise and comprehensive revision notes on the topics covered in the syllabus organised per term and per level
- Numerous continuous assessment exercises for practice during revision
- End of term exams per level for self evaluation
- Hints and guidelines on what is expected when answering examination questions
- Model KCSE examination papers based on the most up-to-date examination techniques
- Guidelines on project work (paper 3) and how marks are awarded when marking project paper answers for all end of term and model test papers.
-
Test It & Fix It KCSE Revision History – 3rd Edition
Test it Fix it: KCSE Revision is a revision series that provides an in-depth coverage of the secondary syllabus. Developed by a team of experienced authors, examiners and teachers, each book contains tests designed to help candidates identify any problems they may have in a particular subject and fx them.
Why Test it & Fix it?
Test it & Fix it: KCSE Revision History and Government provides:
- Essential examination skills including key words used in examinations, common mistakes candidates make, and tips to answering examination questions.
- Summary notes for each of the topics in the syllabus.
- Revision questions based on each topic of the History and Government syllabus.
- Common KCSE questions from each topic of the History and Government syllabus.
- Model examination papers, for paper 1 & 2, to help candidates practise answering questions in the KCSE examination.
- Answers to the revision questions and model examination papers.
Be the first to review “Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 5”