Related products
-
Kiswahili Angaza Gredi 2 TG
Mwandishi: Shabaan Otieno & Mziwanda Banda
Mchapishaji: East African Educational Publishers
Mwaka: First published 2018
ISBN: 978-9966-56-285-2Description
Kitabu cha Mwalimu
Kiswahili Angaza, Mwongozo wa Mwalimu ni kitabu kilichosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kimetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Mwalimu ni nyenzo muhimu katika utekelezaji wa mtalaa mpya. Itakuwa vigumu kwa wanafunzi pekee kujiongoza katika mtalaa huu. Mwongozo huu hivyo basi unatoa mwelekeo ufaao kwa mwalimu na kumwongoza hatua kwa hatua katika ufundishaji. Kitabu hiki kinazingatia mambo saba muhimu:- Utangulizi unaozungumzia kwa mapana na marefu mtalaa mpya unaomwegemea mwanafunzi, mbinu, nyenzo na asilia mbalimbali za kutumia katika ufundishaji pamoja na mambo mengine ainati;
- Kifano cha maazimio ya kazi pamoja na andao la somo kwa kutumia mtindo mpya uliopendekezwa na KICD;
- Ripoti ya maendeleo ya mwanafunzi inayofaa kujazwa mwishoni mwa kila mada kuu. Ripoti hii inafaa kujazwa na mwalimu pamoja na mzazi au mlezi;
- Utangulizi kwa kila somo. Kila utangulizi una jedwali linaloonyesha wiki ya somo, mada kuu, mada ndogo, nyenzo na idadi ya vipindi.
- Kabla ya somo lenyewe, mwalimu anaonyeshwa shabaha ya kila somo, umilisi wa msingi unaokuzwa, uhusiano na masuala mtambiko, shughuli za huduma za kijamii, uhusiano na maadili, uhusiano na masomo mengine na mapendekezo ya tathmini.
- Hatimaye, mwalimu anaonyeshwa hatua mbalimbali za kufundisha somo lake tangia kuingia darasani hadi mwisho wa somo.
- Mahitaji ya wanafunzi wenye uwezo mbalimbali aidha yameshughulikiwa.
- Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha.
-
EAEP Fun with Environmental Activities PP2 PB
by Ogola
- ISBN: 9789966562807
- SKU: 2010123000882
Fun with Environmental Activities PP2, Pupils Book, is a comprehensive course based on the new Competency-Based Curriculum, 2018 for primary schools. This course has been developed to enable learners apply the listening, speaking, reading and writing skills in their daily use of language. This book is presented in a simple manner. Learners at this level will enjoy using it. here, the teacher becomes a facilitator of learning and not simply a source of knowledge.
The key features of this book include:
- A simple approach to language and presentation that is easy to follow.
- Relevant, well drawn full-color illustrations.
- A variety of competency-based learner-centered activities that help the learners to develop a wide range of skills.
- Suggestions for parents and teachers to be involved in the continuous learning process.
- Songs and poems that help the learners to understand the content within this book.
- Indoor and outdoor activities that learners do in pairs and in groups as they help each other to learn.
-
Kiswahili Angaza Gredi 3 TG
Mwandishi: Shabaan Otieno & Mziwanda Banda
Mchapishaji: East African Educational Publishers
Mwaka: First published 2018
ISBN: 978-9966-56-287-6Description
Kitabu cha Mwalimu
Kiswahili Angaza, Mwongozo wa Mwalimu ni kitabu kilichosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kimetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Mwalimu ni nyenzo muhimu katika utekelezaji wa mtalaa mpya. Itakuwa vigumu kwa wanafunzi pekee kujiongoza katika mtalaa huu. Mwongozo huu hivyo basi unatoa mwelekeo ufaao kwa mwalimu na kumwongoza hatua kwa hatua katika ufundishaji. Kitabu hiki kinazingatia mambo saba muhimu:- Utangulizi unaozungumzia kwa mapana na marefu mtalaa mpya unaomwegemea mwanafunzi, mbinu, nyenzo na asilia mbalimbali za kutumia katika ufundishaji pamoja na mambo mengine ainati;
- Kifano cha maazimio ya kazi pamoja na andao la somo kwa kutumia mtindo mpya uliopendekezwa na KICD;
- Ripoti ya maendeleo ya mwanafunzi inayofaa kujazwa mwishoni mwa kila mada kuu. Ripoti hii inafaa kujazwa na mwalimu pamoja na mzazi au mlezi;
- Utangulizi kwa kila somo. Kila utangulizi una jedwali linaloonyesha wiki ya somo, mada kuu, mada ndogo, nyenzo na idadi ya vipindi.
- Kabla ya somo lenyewe, mwalimu anaonyeshwa shabaha ya kila somo, umilisi wa msingi unaokuzwa, uhusiano na masuala mtambiko, shughuli za huduma za kijamii, uhusiano na maadili, uhusiano na masomo mengine na mapendekezo ya tathmini.
- Hatimaye, mwalimu anaonyeshwa hatua mbalimbali za kufundisha somo lake tangia kuingia darasani hadi mwisho wa somo.
- Mahitaji ya wanafunzi wenye uwezo mbalimbali aidha yameshughulikiwa.
- Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha.
-
-
My Shapes
My Shapes is a KICD approved levelled reader. This book is approved for Kenya CBC. It is the modern storybook. It is written to cater for learners with different reading abilities, regardless of their Grade. Learners at this level need simple read aloud books to develop their oral skills and print awareness. Texts with single words help learners at this level to match spoken words with print. The learners are also learning to identify letters and to name them. Left-to-right orientation in reading is developed. My Shapes is a reader that introduces learners to different shapes. This book will aid the development of the learners’ sense of sight and manipulation skills. This book is CBC approved by KICD
-
Great Minds English Language Activities Grade 3 TG
Author: Joseph Maina & Nobert Ndisio
Publisher: East African Educational Publishers
Year: First published 2018
ISBN: 978-9966-56-303-3Teacher’s Guide
This Teacher’s Guide comprehensively covers the content in Great Minds English Language Activities, Grade 3, Pupil’s Book. The key features of this Teacher’s Guide include:
- A comprehensive introduction that covers the following areas:
- Description of the features of the competency-based curriculum.
- Explanation of child-centred learning.
- Detailed scheme of work and lesson plan.
- Classroom management techniques.
- Handling learners with special needs.
- Pertinent and contemporary issues.
- Detailed introduction and explanation for each topic.
- Clear description of all subtopics and activities in the Pupil’s Book.
- Additional information and tips for every subtopic that the teacher will find useful.
- Homework activities to complement what is provided in the Pupil’s Book.
- A description of the Competencies expected to be developed in each unit.
- Well-defined relationship between each unit and Pertinent and Contemporary Issues in society.
- Answers to all questions in the Pupil’s Book.
- A comprehensive introduction that covers the following areas:
-
EAP Fun With Mathematics PP1B
- ISBN: 9789966563873
- SKU: 2010117001848
Fun with Mathematical Activities is a comprehensive course book based on the new Competency-Based Curriculum, 2018.
This Pre-Primary 1, Pupil’s book, is presented in a simple way. Learners at this level will enjoy using this book.
The key features of the book include: • Relevant, well drawn full colour illustrations.
A variety of competency-based learner-centered activities that help
learners to develop a wide range of skills. • Suggestions for parents’ involvement in the continuous learning
process at home. Songs and poems to help learner to understand the content and make Mathematics enjoyable.
Indoor and outdoor activities that learners do in pairs and in groups
as they help each other to learn. • Fun spot in every unit. The book has an accompanying Teacher’s Guide.
The author, Patrick Kiswili, is an educational publisher with a high competence in Mathematics and Science. -
Great Minds CRE Activities Grade 3 PB
by Muriithi
- ISBN: 9789966563934
- SKU: 2010130000444
Great Mine Chrifios Education Activities Grade 3, is a comprehensive course based on the new Competence d Curriculum,
2018 for Primary schools. This course has been developed to enable learners to apply Biblical teaching in their daily lives
.This Grade 3 book is presented in a simple manner Learners on this level will enjoy using it. Here the teacher becomes a
facilitator of learning and not simply a source of knowledge
The key features of this book include
– A simple approach to language and presentation that is
to follow
– Relevant, well drawn full colour illustrations
red cities that help the
– A variety of competency-based learners- centred activities that help the learners to develop a wide range of
– Suggestions for parents and teachers to be involved in the continuous
Learning process at home
– Songs, poems, bible verses and prayers that help the learners to
understand the content within this book
Be the first to review “EAEP Fun With CRE Activities PP1 TG”