Nyota Ya Kiswahili 1

KSh325.00

  • ISBN: 9789966511065
  • SKU: 2010127000710

Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya ziada kwa Gredi ya Kwanza. Kimeandikwa kuambatana na mtalaa mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanafunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza rnaarubu ya mtalaa wa kiwango husika. Ndani yake mna mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yao.

Kimezingatia stadi zote za kujifunza lugha, yaani:

(i) Kusikiliza

(ii) Kuzungurnza

(iii) Kusoma

(iv) Kuandika

(v) Msamiati

(vi) Sarufi

Category:
JKF Publishers

JKF Publishers

Customer Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Nyota Ya Kiswahili 1”

Your email address will not be published. Required fields are marked *