Showing 21–31 of 31 results

  • Kiswahili Angaza Gredi 3 PB

    Mwandishi: Shabaan Otieno & Mziwanda Banda
    Mchapishaji: East African Educational Publishers
    Mwaka: First published 2018
    ISBN: 978-9966-56-286-9

    Description

    Kitabu cha Mwanafunzi

    Kiswahili Angaza ni kozi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:

    1. Kusoma ni kutagusana; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
    2. Wanafunzi wanaanza kila somo kwa kuelezea picha au hali ama matukio wanayoyafamu huku wakijadiliana;
    3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria  kama vile kuchanganua, kutambua, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
    4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha;
    5. Mwanafunzi na mwanafunzi mwenzake, pamoja na mwalimu, mzazi na hata jamii nzima wanashirikishwa ndani ya kitabu hiki.
    Ili kuhakikisha kwamba mwanafunzi anashiriki katika utendaji wakati wa somo, Shughuli mbalimbali zinazopalilia na kushadidia umilisi wake zimezingatiwa. Shughuli hizo ni kama zifuatazo: Shughuli za Darasa; Shughuli za Kibinafsi; Shughuli za Makundi; Shughuli za Wawili wawili; Shughuli za Nyumbani; Shughuli za Nje ya darasa; Shughuli Mseto; Shughuli za Ziada na Shughuli za Utafiti.
    KSh385.00
  • Kiswahili Angaza Gredi 2 TG

    Mwandishi: Shabaan Otieno & Mziwanda Banda
    Mchapishaji: East African Educational Publishers
    Mwaka: First published 2018
    ISBN: 978-9966-56-285-2

    Description

    Kitabu cha Mwalimu

    Kiswahili Angaza, Mwongozo wa Mwalimu ni kitabu kilichosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kimetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Mwalimu ni nyenzo muhimu katika utekelezaji wa mtalaa mpya. Itakuwa vigumu kwa wanafunzi pekee kujiongoza katika mtalaa huu. Mwongozo huu hivyo basi unatoa mwelekeo ufaao kwa mwalimu na kumwongoza hatua kwa hatua katika ufundishaji. Kitabu hiki kinazingatia mambo saba muhimu:
    1. Utangulizi unaozungumzia kwa mapana na marefu mtalaa mpya unaomwegemea mwanafunzi, mbinu, nyenzo na asilia mbalimbali za kutumia katika ufundishaji pamoja na mambo mengine ainati;
    2. Kifano cha maazimio ya kazi pamoja na andao la somo kwa kutumia mtindo mpya uliopendekezwa na KICD;
    3. Ripoti ya maendeleo ya mwanafunzi inayofaa kujazwa mwishoni mwa kila mada kuu. Ripoti hii inafaa kujazwa na mwalimu pamoja na mzazi au mlezi;
    4. Utangulizi kwa kila somo. Kila utangulizi una jedwali linaloonyesha wiki ya somo, mada kuu, mada ndogo, nyenzo na idadi ya vipindi.
    5. Kabla ya somo lenyewe, mwalimu anaonyeshwa shabaha ya kila somo, umilisi wa msingi unaokuzwa, uhusiano na masuala mtambiko, shughuli za huduma za kijamii, uhusiano na maadili, uhusiano na masomo mengine na mapendekezo ya tathmini.
    6. Hatimaye, mwalimu anaonyeshwa hatua mbalimbali za kufundisha somo lake tangia kuingia darasani hadi mwisho wa somo.
    7. Mahitaji ya wanafunzi wenye uwezo mbalimbali aidha yameshughulikiwa.
    8. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha.
    KSh280.00
  • Kiswahili Angaza Gredi 2 PB

    Mwandishi: Shabaan Otieno & Mziwanda Banda
    Mchapishaji: East African Educational Publishers
    Mwaka: First published 2018
    ISBN: 978-9966-56-284-5

    Description

    Kitabu cha Mwanafunzi

    Kiswahili Angaza ni kozi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:

    1. Kusoma ni kutagusana; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
    2. Wanafunzi wanaanza kila somo kwa kuelezea picha au hali ama matukio wanayoyafamu huku wakijadiliana;
    3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria  kama vile kuchanganua, kutambua, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
    4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha;
    5. Mwanafunzi na mwanafunzi mwenzake, pamoja na mwalimu, mzazi na hata jamii nzima wanashirikishwa ndani ya kitabu hiki.
    Ili kuhakikisha kwamba mwanafunzi anashiriki katika utendaji wakati wa somo, Shughuli mbalimbali zinazopalilia na kushadidia umilisi wake zimezingatiwa. Shughuli hizo ni kama zifuatazo: Shughuli za Darasa; Shughuli za Kibinafsi; Shughuli za Makundi; Shughuli za Wawili wawili; Shughuli za Nyumbani; Shughuli za Nje ya darasa; Shughuli Mseto; Shughuli za Ziada na Shughuli za Utafiti.
    KSh435.00
  • Kiswahili Angaza Gredi 1 TG

    Mwandishi: Shabaan Otieno & Mziwanda Banda
    Mchapishaji: East African Educational Publishers
    Mwaka: First published 2018
    ISBN: 978-9966-56-282-1

    KSh280.00
  • Kiswahili Angaza Gredi 1 PB

    Mwandishi: Shabaan Otieno & Mziwanda Banda
    Mchapishaji: East African Educational Publishers
    Mwaka: First published 2018
    ISBN: 978-9966-56-282-1

    Kitabu cha Mwanafunzi

    Kiswahili Angaza ni kozi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:

    1. Kusoma ni kutagusana; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
    2. Wanafunzi wanaanza kila somo kwa kuelezea picha au hali ama matukio wanayoyafamu huku wakijadiliana;
    3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria  kama vile kuchanganua, kutambua, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
    4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno na isiyokuwa na maneno magumumagumu na misamiati ya kubabaisha;
    5. Mwanafunzi na mwanafunzi mwenzake, pamoja na mwalimu, mzazi na hata jamii nzima wanashirikishwa ndani ya kitabu hiki.
    Ili kuhakikisha kwamba mwanafunzi anashiriki katika utendaji wakati wa somo, Shughuli mbalimbali zinazopalilia na kushadidia umilisi wake zimezingatiwa. Shughuli hizo ni kama zifuatazo: Shughuli za Darasa; Shughuli za Kibinafsi; Shughuli za Makundi; Shughuli za Wawili wawili; Shughuli za Nyumbani; Shughuli za Nje ya darasa; Shughuli Mseto; Shughuli za Ziada na Shughuli za Utafiti.
    KSh385.00
  • EAEP Fun With Language Activities PP2 PB

    by Wanjiku Kiragu

    • ISBN: 9789966563835
    • SKU: 2010101002786

    Fun with Language Activities Pre-Primary 2 Pupil’s Book is a comprehensive course based on the new Competency-Based Curriculum, 2018 for Pre-Primary schools. This course has been developed to enable learners to apply the listening, speaking, reading and writing skills in their daily use of language. This Pre-Primary 2 book is presented in a simple manner. Learners at this level will enjoy using it. Here, the teacher becomes a facilitator of learning and not simply a source of knowledge.
    The key features of this book include:
    • A simple approach to language and presentation that is easy to follow.
    • Relevant, well-drawn full-colour illustrations that are exciting to the children.
    • A variety of competency-based learner-centred activities that help the learners to develop a wide range of skills.
    • Suggestions for parents and guardians to be involved in the continuous learning process at home.
    • Songs, poems and games that help the learners to understand the content within this book.
    • Indoor and outdoor activities that learners do in pairs and in groups as they help each other to learn.
    The book has an accompanying Teacher’s Guide. The author is an English Language teacher with vast experience

    KSh215.00
  • EAEP Fun with Environmental Activities PP2 PB

    by Ogola

    • ISBN: 9789966562807
    • SKU: 2010123000882

    Fun with Environmental Activities PP2, Pupils Book, is a comprehensive course based on the new Competency-Based Curriculum, 2018 for primary schools. This course has been developed to enable learners apply the listening, speaking, reading and writing skills in their daily use of language. This book is presented in a simple manner. Learners at this level will enjoy using it. here, the teacher becomes a facilitator of learning and not simply a source of knowledge.

    The key features of this book include:

    • A simple approach to language and presentation that is easy to follow.
    • Relevant, well drawn full-color illustrations.
    • A variety of competency-based learner-centered activities that help the learners to develop a wide range of skills.
    • Suggestions for parents and teachers to be involved in the continuous learning process.
    • Songs and poems that help the learners to understand the content within this book.
    • Indoor and outdoor activities that learners do in pairs and in groups as they help each other to learn.
    KSh365.00
  • EAEP Fun With Mathematics Activities PP2 TG

    EAEP Fun With Mathematics Activities PP2 TG

    KSh250.00
  • EAEP Fun With Mathematics Activities PP2 PB

    by Patrick Kiswili

    • ISBN: 9789966562760
    • SKU: 2010117001653

    Fun with mathematical activities is a comprehensive course book based on the new Competency-Based Curriculum (20 I 8).This Pre-Primary 2, Pupil’s book, is presented in a simple way Learners at this level will enjoy using this book

    The key features of the book include relevant and well-drawn color illustrations; • a variety of competency-based learning activities: • suggestions for parents’ involvement in the continuous learning process, at home and • songs and poems at the end of the book.

    The author, Patrick Kiswili, is an educational publisher with a high competence in Mathematics and Science.

    KSh245.00
  • EAP Fun With Mathematics PP1B

    • ISBN: 9789966563873
    • SKU: 2010117001848

    Fun with Mathematical Activities is a comprehensive course book based on the new Competency-Based Curriculum, 2018.
    This Pre-Primary 1, Pupil’s book, is presented in a simple way. Learners at this level will enjoy using this book.
    The key features of the book include: • Relevant, well drawn full colour illustrations.
    A variety of competency-based learner-centered activities that help
    learners to develop a wide range of skills. • Suggestions for parents’ involvement in the continuous learning
    process at home. Songs and poems to help learner to understand the content and make Mathematics enjoyable.
    Indoor and outdoor activities that learners do in pairs and in groups
    as they help each other to learn. • Fun spot in every unit. The book has an accompanying Teacher’s Guide.
    The author, Patrick Kiswili, is an educational publisher with a high competence in Mathematics and Science.

    KSh245.00